Diamond alikuwa anauza duka Magomeni, sijalipwa hata shilingi mia ya wimbo wa ‘kamwambie’- Bob Junior
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na muandaaji wa muziki nchini Tanzania, Bob Junior amedai kuwa kwa mara ya kwanza kuonana na Diamond Platnumz ilikuwa ni mitaa ya Magomeni jijini Dar es salaam akiuza duka la nguo na yeye ndiye aliyeanza kumuomba amsaidie kurekodi kwenye studio zake za Sharobaro Records.
Bob Junior amesema kwa mara ya kwanza alipokutana naye alikuwa ana-rap lakini akamwambua aachane na huo muziki na ndio akarekodi wimbo wa nenda kamwambie.
“Wakati nakutana na Diamond ilikuwa mtaani tu maskani pale Magomeni alikuwa anauza duka la nguo, ikawa kila nikipita anasema Bob bwana nifanyie kazi, siunajua mimi nina roho tofauti ..! alikuwa ana-rap rap kwa akili yangu nikamwambia aachane na muziki huo yaani muziki wa ku-rap rap hapana tujaribu kuimba. Ndio akaja kamwambie ikawa kama ina U-RnB nikamwambia badilika kidogo imba Bongo Fleva zaidi, Then Alhamdulillah tukatoa wimbo ukawa mkubwa lakini kumbuka kwa wimbo huo kuwa mkubwa sijawahi kuchukua shilingi mia. Album yake yote iliyotoka nimelipwa nyimbo nyingine lakini Kamwambie sijataka nilipwe kwa sababu aliniomba na nikapenda anavyoimba so baraka zangu na baraka zake Mungu akaona kilio chetu, Diamond akawa mkubwa na mimi mkubwa na sharobaro ikawa kubwa.“amesema Bob Junior kwenye mahojiano yake na Wasafi TV.
Bob Junior ni moja ya Maproducer waliomsaidia Diamond Platnumz kabla ya kuwa na jina kubwa miaka ya nyuma na alishwahi kutengeneza Hit songs kadhaa ikiwemo Kamwambie na Kwetu Mbagala.
Kwaio unatak ulipwe
Lisenge hil
Km Unataka Kulipwa Semaaaaa…
Uli kuwap usiseme uje useme leo
Waliosoma vichwa vya habari utawajua tu wana comment pumba tu
Mtapotezwa na bongo5 waong kxenge
Pw
Maneno ya mkosaji🤣🤣🤣🤣
Wacha #simba apige kazi ww
Aaaah brow mbonaunamkwa unajishusha
Bob wenenda direct sema tu mdogo wngu nasebu kaka yko ninashida hi na hi sio kuanza kutugea hadith eti nimerecord bure kwan alikukaba au ulirazimishwa au ndo unataka kiki wewe komba uyo simba akikupa kiki utakufa
Ulikuwa wapi mda wote
Mwenzio yupo world wide ww baki ma vinanda vyako labda unatamani kuhajiriwa WASAFI TV,RADIO????
mwalimu alomfunza #MAGU shule pia unataka aongeye sasa…..
Mbona unalalama sana. Yani huyu jamaa anawivuuuu muone vile. Ndo shida yakutembelea nyota za watu
Funguweni link jamani musi comment tu kichwa cha habari juu awa mahandishi bwana wanatiaga chachu kweli
Utapata tabu SAAANAA
aombe ajira wasafi wamuajir at
Ambao tupo magomeni na tunaijua vizuri tu sharobaro
Bob anachokiongea hatupaswi kumtusi maana sharobaro ilikuwa kama famili …
umeona ee
Fungueni Link msiwe mnamponda tu Bob !!! Hakuna kibaya alichoongea ..tena ameongea kiungwana mnooo
BG up Bob junior
hana lolot huyu bob kama umemxaidia m2 kauxha atakulp god
Bob mbn unalalmika si kuna wakati ule ulisema kuwa atapotea kimzik alivyojitoa kwako…na baadae ukamwambia asitumie ata ilo jna la sharobaro….kwenye maisha usimdharau wa chin yako kwan hujui atakuw nan baadae…so bob kama unashida zako,kamlilie yey uko sio mitandaon
Ulikua wataka tukusaidieje
.tatizo watu hawafungui link wasome habari wanaishi kene kichwa cha habari ndo mana wanatukana
Ninyi mnaotukana mnatumia fb ya bure jamaa alisema “sikutaka kulipwa pesa yoyote” na wew mwandsh tumia akili kuandka heading ya hbar acha uchonganish
Ninyi mnaotukana mnatumia fb ya bure jamaa alisema “sikutaka kulipwa pesa yoyote” na wew mwandsh tumia akili kuandka heading ya hbar acha uchonganish
fungua link acha uvivu wa mawazo
Kumbe hapo hakuna shida Kama hakulipwa kwa wimbo mmoja tu akalipwa kwa nyimbo zingine nnachokiona wimbo nenda kamwambie ulikua kama ni mtaji kwa wote wawili,kwanza diamond kanufaika kupata kazi nyingi,pili sharobaro,pia wakanufaika pia kwa kuitangaza studio yao,niliposoma kichwa cha habar nilidhan jamaa analalamika kumbe alikua anazungumzia namna diamond alivyotoka,na namna sharobaro record ilivyopata jina kutokana na wimbo huo!!!
Sulemani Mayega
Uyu jamaa kakosa cha kufanya… Amekaa chin amewaza atokeje ndo kaja na hii!!!
#HATUTOIKIKI
kweli man
Mzee umemaliza😀😀😀
Ulipo soma comment yng nimekua nimesha ufungua so Acha udwanz
Fungua link ache kua kama k”
Fungua link acha kua kama K”
Fungua link acha kua kama K”
Fungua link acha kua kama K”
Fungua link acha kua kama K”
Fungua link acha kua kama K”
Emmanuel Henry
Heading inatosha Mnoooh!
Hayo co mambo ya yy kutuambia cc
Bob junior acha lawama, kwani sisi wakati mnakubaliana kufanya kazi tulikuwepo?! Kama mlikubaliana kutokulipana sisi tutajuaje, afu kazi za zamani wasanii wengi na ma-producer walikuwa wanafanya kishkaji tu na sio kibiashara sana, mziki umekuwa biashara miaka hii ya karibuni,,,,,,kwanza ukiachana na hilo la kutokulipa hela ya iyo nyimbo ata ivyo Bob junior watu walikutambua kupitia diamond kupitia nyimbo ya kamwambia na mbagala so unatakiwa kushukuru tu ata kwa iko kidogo, ulikuwa huimbi ila ukahamasika kuimba kwa sababu ya mond….acha kulalama kwa ishu ambazo zimepita hazina faida.
kifupi woote wametoana na wanapendana lakin tatizo lao ni kibri na kila Mtu hatak kujishusha kwa Mwenzake
“Alikua”
sasa kama vp si ukamfungulie mashtaka unalia lia nini mwenzako anasonga mbele
Kuma ww sio kila MTU anashida
Usimwamshe alie lala saiv uko wapi ye yuko wapi….
Kweli kabisa
Jamaa kaongea vzr sema title ya habari inataka tufungue link
😆😆😆😆😆
Alichosema Bob Junior ambaye ndie alimuibua Diamond Platnumz kupitia wimbo wa Kamwbie
.
“Wakati nakutana na Diamond ilikuwa mtaani tu maskani pale Magomeni alikuwa anauza duka la nguo, ikawa kila nikipita anasema Bob bwana nifanyie kazi, siunajua mimi nina roho tofauti ..! alikuwa ana-rap rap kwa akili yangu nikamwambia aachane na muziki huo yaani muziki wa ku-rap rap hapana tujaribu kuimba. Ndio akaja kamwambie ikawa kama ina U-RnB nikamwambia badilika kidogo imba Bongo Fleva zaidi, Then Alhamdulillah tukatoa wimbo ukawa mkubwa lakini kumbuka kwa wimbo huo kuwa mkubwa sijawahi kuchukua shilingi mia. Album yake yote iliyotoka nimelipwa nyimbo nyingine lakini Kamwambie sijataka nilipwe kwa sababu aliniomba na nikapenda anavyoimba so baraka zangu na baraka zake Mungu akaona kilio chetu, Diamond akawa mkubwa na mimi mkubwa na sharobaro ikawa kubwa.“amesema Bob Junior kwenye mahojiano yake na Wasafi TV.MAPOVU NA LINK JAMANI 😂😂 NAJUA TEAM WCB TUNAMFATAA HUKO
Soma kwanza habari ndipo uchangie maoni yako.
Isome kwanza habiari ndipo uchangie ndugu.
Acha uvivu wakusoma.
Watu wavivu wakusoma
Richard Julius wazembe kama Salumu Mbuto wapo wengi, usijichoshe kuwaelimisha.