Burudani
Hamisa Mobetto ajifungua mtoto wa kiume
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amejifungua mtoto wa kiume wiki hii, mtoto huyo anatambulika kwa jina Baby Dee.
Huyo ni mtoto wa pili wa mrembo huyo ambapo mtoto wa kwanza alizaa na Mkurugenzi wa EFM, Majay.
Mrembo huyo, amethibitisha kujifungua “Ahsante MUNGU??❤️ Welcome to the world Champ @tanzanian_baby I love U ??
Kwa upande wa mama yake Mobetto alipost picha ya mjukuu wake huyo na kuandika “Alhamdulilah mume wangu mie peke yangu,”