Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariUmbea
Harmonize na Kajala sasa mambo hadharani
Baada ya watu kuwa na ukakasi juu ya kurejea kwa penzi la mastaa hawa wawili mmoja msanii wa muziki @harmonize_tz na mwingine msanii wa Bongo movie @kajalafrida
Leo kupitia akaunti zao za mitandao ya kijamii wameamua kuweka wazi juu ya penzi lao.
@harmonize_tz yeye amepost picha kadhaa ila @kajalafrida amepost video wakiwa gym.
Lini umeenda kwenye mazoezi na Mpenzi wako ?? 🤪