Burudani
Harmonize na timu yake ya Konde Gang watua Arusha kupiga show (+ Video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @harmonize_tz anatarajiwa kupiga show, baada ya kufika jijini Arusha alipata wasaa wa kuongea na wana habari na hiki ndio alichozungumza.
Msikilize Jeshi, Konde boy @harmonize_tz akiwa Arusha.