Burudani

Idris Sultan aungana na Feza Kessy kama watangazaji wapya wa Choice FM

Idris Sultan ameungana na Feza Kessy kama watangazaji wapya wa Choice FM.

12424745_280904802241557_1306905336_n

Wawili hao watakuwa wakitangaza kipindi cha Hard Drive kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa tatu.

“Wataelewa tuu @choicefmtz natanguliza shukrani kwa Mungu kisha tukutane saa 12 asubuhi mpaka saa 3 asubuhi. Ntawaamsha,” ameandika Idris.

Feza na Idris wamechukuliwa katika usajili mpya wa Clouds Media Group katika vituo vyake vya redio ambapo Clouds FM jana waliwatangaza rasmi Dj Sinyorita na Mami waliokuwa East Africa Radio kama wafanyakazi wao wapya.

12501896_625966904223842_1377030709_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents