Burudani

Izzo B na Abela wathibitisha hili

Msanii Izzo Bizness anayeunda kundi la ‘The Amazing’ na  Abela, ametoa wimbo mpya uitwao “Tumeoana”, hii ni nyimbo ya pili kwa kundi hilo kuzugumzia mapenzi.

Kupitia nyimbo ya “Tumeoana” huwenda wamekiri kuwa ni wapenzi. Izzo na Abela mara kadhaa wamehisiwa ni wapenzi lakini wao wamekuwa wakikanusha stori hizo wakisema wao ni washikaji tu, na sio wapenzi.

Audio ya nyimbo ya “Tumeona” imetengenezwa na Abba , huku video ikifanywa na Director Nick Dizzo wa Focus Film.

Itazame video hii kisha usikilize mstari kwa mstari na uniambiee, wewe mdau unaonaje, Izzo na Abela ni couple mpya ya mastaa bongo?

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents