Rapper Jan B ameachia EP album yake aliyoipa jina, 360.
“Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wanaweza kuinunua ”360 EP Album” yangu katika vituo vifuatavyo jijini Dar es Salaam na kwa kiasi cha T.SH 5,000 tuu. SamakiSamaki Mlimani city & Posta, Century Cinemax (Movie theater)-Mlimani City, Aziz Barber Shop zamani Prof Jizzle Barbershop-Msasani mwisho, Shebby barber shop-Lufungira Sinza, Billionnaires barber shop-Mikocheni kwa Nyerere, Lily’s boutique-Mwenge, Ofisi za Bongo5-Msasani, Pia wanaweza kunicheki kwa no yangu 0756169978 kuinunua kutoka kwangu. Asanteni sana kwa sapoti,2 amesema Jan B kwenye maelezo yake.