Siasa
Kagaigai mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amestaafu (+ Video)
Rais wa Jmauhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassana amemteua Bwhira. Stephen Kagaigai kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akichukua nafasi ya Bi. Anna Mghirwa amestaafu.