HabariMichezo

Kama timu yako haijashinda goli sita, ni wazururaji- Zakazakazi

“Kama timu yako haijapata ushindi wa mabao sita msimu huu, hiyo siyo timu bali ni kikundi cha wazururaji.”- @zakazakazi

Msemaji wa Klabu ya Azam FC baada ya kuifunga Mbeya City magoli 6-1.

Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita @simbasctanzania iliifunga goli 7-1 Tanzania Prisons.

Unadhani kijembe hiki kinailenga Klabu gani..?

Credit by @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents