Burudani
Kanye West Kim Kardashian kufunga ndoa May 24
Kanye West na Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa jijini Paris, Ufaransa May 24.
“Haitakuwa harusi kubwa,” chanzo kimoja kililiambia jarida la PEOPLE. Kilisema kuwa watu 150 watahudhuria. Mtoto wao North West, atakayefikisha mwaka 1 mwezi June, anadaiwa kufanya kitu kwenye harusi yao.