Michezo
Kauli ya DC Jokate baada ya Yanga kutolewa Ligi ya Mabingwa Afrika (+Video)
Mkuu wa Wilaya Temeke, Jokate Mwegelo amesma kuwa anaendelea kuwatakia Yanga kilalaheri na yeye kama Mkuu wa Wilaya anasapoti timu zote na anataka zifanye vizuri kwasababu ushindani uliyopo unasaidia kukuza mchezo wa soka nchini.