Habari

Kifaa kinachodaiwa kutoka kwenye setellite ya China chaanguka

Kifaa kinachodaiwa kuwa kutoka kwenye satellite ya China kilichokuwa angani na sehemu ya injini ya nje au kombora kimeanguka katika eneo la migodi kaskazini mwa mji wa Myanmar, Burma.

cw8-j-5viaekhpv

Kifaa hicho chenye urefu wa mita 4.5 na upana wa 1.2 kimeanguka Ijumaa hii na kutoboa paa la nyumba iliyopo karibu na eneo hilo.

Maafisa kutoka idara moja ya ulinzi na usalama iliyopo mjini hapo wanasema kuwa kifaa hicho kilitembea umbali wa mita 50 kilipoanguka kabla ya kutua eneo moja lenye matope.

“Initially, we thought it was a battle. The explosion made our houses shake. We saw the smoke from our village,” amesema mmoja wa wakazi wa eneo hilo.

Source: BBC

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents