Mbunge wa Nzega (CCM) Mh @hamisi_kigwangalla ametoa mchango wake katika bunge la bajeti kuu ya serikali 2021/22.
Amempongeza Waziri wa fedha kwa kuja na bajeti ambayo inakwnda kukata shauku ya Rais Samia ya kukomboa uchumi wa Tanzania.
Mbunge wa Nzega (CCM) Mh @hamisi_kigwangalla ametoa mchango wake katika bunge la bajeti kuu ya serikali 2021/22.
Amempongeza Waziri wa fedha kwa kuja na bajeti ambayo inakwnda kukata shauku ya Rais Samia ya kukomboa uchumi wa Tanzania.