Burudani

Kim Kardashian aajiri ‘stylist’ maalum kwa mwanae North

Kim Kardashian anadaiwa kuajiri stylist na mshona nguo maalum kwaajili ya mwanae North mwenye mwaka mmoja atakayekuwa na kazi ya kutengeneza nguo zake.

7de2c120-233c-11e4-91fa-2de08d106e24_North-West-CR-Fashion

Mtu huyo atahakikisha kuwa North anakuwa na nguo za peke yake na zinazompendeza. Chanzo kimeliambia jarida la Grazia kuwa mtu huyo anayelipwa mshahara kama stylist wa North atakuwa akifanya kazi bega kwa bega na timu ya mitindo ya Kim na Kanye kutengeza nguo maalum.

Kimesema nguo nyingi za North zinafafana na za mama yake ikiwa ni pamoja na viatu na mikoba.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents