Michezo

Lionel Messi achukua tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Uhispania

Mshambuliaji wa Klabu Barcelona Lionel Messi amefanikiwa kuchukua Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Januari La Liga baada kufanikiwa kufunga magoli 6 katika mechi 5 alizocheza kwenye ligi hiyo katika huu mwezi.

3120E4B400000578-3444064-image-a-10_1455281960549

Hii ni mara ya kwanza kwa Muargentina huyo kuchukua tuzo hiyo iliyoanzishwa msimu wa 2013/2014.

Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameshinda taji hilo mara mbili tangu lianzishwe mnamo mwezi Septemba 2013.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents