Mzee wa Upako Lusekelo amedai @stevenyerere2 amekuwa kimbilio la wengi na amekuwa na moyo wakusaidia watu mbalimbali na hata anapokosea yupo tayari kujishusha.
Kuhusu kauli za muigizaji huyo kuhusu watumishi wa Mungu, Mzee wa Upako amedai msanii huyo ameweza kuwasilisha maoni ya watu mtandaoni jinsi wanavyowachukulia viongozi wa dini.