Burudani
Madee awaunga mkono waongozaji video wa nje
Madee amewafagilia waongozaji wa video wa nje.
Madee ambaye kwa sasa video yake ya ‘Migulu Pande’ inafanya vizuri kwenye TV na redio, ameiambia Times FM, kupitia kipindi cha The Playlist, “directors wa nje wana connection nzuri na TV za kimataifa.”
“Mimi naona sawa na mzuka watu kwenda kushoot video nje sababu inapanua wigo mpana wa msanii kuvuka kimataifa,” aliongeza.