Habari
Madereva wa Tanzania “Tukifika mpakani mwa Rwanda tunafukuzwa na mawe wanatuita sisi Corona” – Video
“Dereva Mtanzania ukivuka tu kwenye mpaka na Rwanda 🇷🇼 hapo Rusumo, anaonekana ameathirika na Corona. ”Ukisimamisha gari umebanwa na haja ndogo askari wanatuongoza wanakuamrisha urudi kwenye gari.”
”Tunatembea na chupa za maji ilitujistiri humo”
https://www.instagram.com/p/CAXDGq8hu7t/