Habari

Malawi kuondoa hukumu ya kifo

Mahakama kuu ya Malawi imeamua kuwa adhabu ya kifo ni kinyume cha katiba.

Mahakama imesema kuwa hukumu ya kifo ipo kinyume na viwango vya kimataifa vya haki za binadamu,

Hii ikimaanisha kuwa adhabu kubwa zaidi itakayotolewa nchini Malawi itakuwa hukumu ya kifungo cha maisha.

Tume ya haki za binadamu imeelezea uamuzi huo kuwa hayo ni maendeleo.

Aidha ilibainika kuwa hakuna aliyenyongwa ncini humo tangu mwaka 1975.

Malawi sasa imekuwa nchi ya 22 ukanda wa mataifa ya -Sahara kusitisha adhabu ya kifo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents