Habari
Mbunge Msukuma Awasha Moto”Usipo kuja na Majibu Urafiki wetu Utaisha Leo”
Tazama Mbunge wa Geita Vijijini Mhe Joseph Msukuma alivyomwambia Waziri Mchengerwa “usipokuja na majibu urafiki wetu utaishia leo” ni kuhusu changamoto ya kituo cha afya Jimboni kwake
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255