Mdhamini wa miamba ya soka Afrika Mashariki na Kati Simba SC, Mo Dewji amesema kuwa amewaahidi bonasi nono wachezaji wa timu hiyo kama watafanikiwa kuifunga USGN siku ya Jumapili ya April 3, 2022 katika dimba la Benjamin Mkapa.
Mo ameyasema hayo baada ya kuitembelea kambi ya Simba leo siku ya Ijumaa.
Kuangalia video bofya HAPA