Burudani
Msechu arejea home
Mshindi wa pili wa Tusker Project Fame Peter Msechu aliporudi kutoka nchini Kenya akipokelewa kishujaa na watu mbalimbali katika uwanja mwa Ndege wa Mwalimu Julius jiji Dar es Salaam jana.
Msechu alielezea jinsi ushindani ulivyokuwa mkubwa, na kwa namna alijifua kiasi cha kufikia nafasi ya pili katika shindano hilo la Tusker Project Fame.
Msechu anatarajia kuanza kurekodi album yake karibuni na kuingiza sokoni ili jamii ipate nafasi ya kushuhudia kipaji chake.