Siasa

Mwigulu: Licha ya mlipuko wa COVID-19, pato lilikua kwa 4.8%

“Licha ya mlipuko wa COVID-19 ulioathiri uchumi wa nchi nyingi, TZ ni miongoni mwa nchi chache Duniani zilizokuwa na ukuaji chanya wa uchumi kwa mwaka 2020 pato la Taifa lilikua kwa 4.8% ikilinganishwa na ukuaji wa 7.0% mwaka 2019”

“Kwa mwaka 2020 pato kwa mtu lilikadiriwa kufikia shilingi 2,653,790, sawa na dola za Marekani 1,151.0, ikilinganishwa na shilingi 2,573,324, sawa na dola za Marekani 1,118.9 kwa mwaka 2019, ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.1”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents