The African Princes @officialnandy usiku wa jana alizindua kampeni yake ya #Funguka ambapo alikutana na vijana mbalimbali na kueleza matatizo yao na pia kuyatafutiq namna ya kuyatatua.
Akishirikiana na @dadahoodtz ya @mamybabytz ameeleza namna alivyoamua kubuni wazo hilo.
Mbali na hilo @officialnandy ameeleza baadhi ya changamoto alizokutana nazo baada ya shabiki kuleta sintofahamu wakati akiongea naye Insta live.
Pia bila kusahau CEO wa @dadahoodtz @mamybabytz naye alipata wasaaa wa kuongea.