Nchi hizi 10 zinazongoza kwa rushwa duniani
Kwa mujibu wa Jarida la Forbes na Takwimu za Transparency International, hizi ndizo nchi 10 zinazoongoza kwa rushwa Duniani.
1. SOMALIA
Nchi hii ya Barani Afrika, ilikuwa bila serikali tangu mwaka 1991. Ndilo taifa linaloongoza kwa ufisadi Afrika na duniani kote. Somalia inaongozwa na Rais wao mpya,Mohamed Abdullahi Mohamed na ina jumla ya watu wapatao milioni 10.79
5. UZBEKISTAN
Lugha inayotumika nchii hii ni kirusi, na inapatikana katikati mwa bara la Asia.
6. TURKMENISTAN
Kwa mujibu wa Banki ya dunia ina watu wapatao milioni 5.374. Rais wao akiwa ni Gurbanguly Berdimuhamedow.
7. SUDAN
Nchi hii inayopatikana kaskazini Barani Afrika inaongozwa na Omar al-Bashir. Lugha ikiwa ni kiarabu na kiingereza. Ina watu wapatao milioni 40.23
8. IRAQ
Ipo Magharibi mwa Bara la Asia, ina watu milioni 36.42 , mji mkuu ukiwa ni Baghdad.
9. HAITI
Inapatikana katika kisiwa cha Hispaniola na ina watu milioni 10.71
10. VENEZUELA
Inapatikana Kusini mwa Amerika na inaongozwa na Rais Nicolás Maduro, ikiwa na jumla ya watu wapatao 31.11
Na Laila Sued