Habari

Ngoma ijayo ya Weusi inaitwa ‘Sweety Mangi’ washoot video yake SA

Ngoma mpya ya kundi la Weusi inaitwa Sweety Mangi, imefahamika.

13248996_538229193045443_1973897236_n

Joh Makini, G-Nako na Nick wa Pili walikuwa jijini Johannesburg wiki hii kushoot video kadhaa ikiwemo ya wimbo huo.

13256565_993250390724548_1049189991_n

Watatu hao wameshare picha kwenye kurasa zao za Instagram wakiwa location ya ndani kushoot video hiyo na muongozaji Justin Campos.

“Sweet mangi video….done….kaamkao wa kula,” ameandika Nick kwenye picha aliyoiweka Instagram.

Sweety Mangi si video pekee waliyoenda kushoot. Kabla ya hapo walishoot video nyingine ya wimbo wa Joh Makini aliomshirikisha staa wa Nigeria, Chidinma. Pia kuna wimbo waliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini, Khuli Chana.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents