Michezo

Picha: Caster Semenya asherehekea ndoa na mchumba wake Violet Raseboya

Kama unakumbuka mwanariadha mwanamke wa Afrika Kusini mwenye utata mwingi Caster Semenya alifunga ndoa ya kitamaduni na mchumba wake Violet Raseboya mwaka 2015.

Na sasa wawili hao wamefanya sherehe kubwa kufurahia fungate lao la ndoa mbele ya ndugu na jamaa. Sherehe hiyo imefanyika Jumamosi hii mjini Pretoria.

Tazama picha zaidi:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents