Events
Picha: Inter-College Freshers Party – Mbalamwezi Beach
Wanafunzi wapya wa vyuo mbalimbali vya jijini Dar es Salaam, jana walijumuika pamoja kwenye party ya nguvu, Inter-College Freshers Party iliyofanyika Mbalamwezi Beach. Pamoja na muziki mkali uliopigwa na DJ D-Ommy na DJ Ali B, rappers kama Young D, Mabeste na Young Suma walitumbuiza. Tazama picha za mambo yalivyokuwa.
Mabeste-akitumbuiza
Mrembo akifurahia muziki
Mtangazaji wa kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV, Nickson
T-Bway wa EATV (kulia) akiwa na shabiki
Warembo wakijiunga na wanafunzi wengine kucheza kwa pamoja
Young D akishow love kwa mashabiki wake
DJ Ali B
DJ D-Ommy akiwapa wanafunzi mizuka
DJ D-Ommy na DJ Ali B
Ebana dah
Hapa wanafunzi wakicheza pamoja