Burudani

Picha: Mpenzi mpya wa Nuh Mziwanda ajichora tatoo ya Nuh

Baada ya Shilole kujichora tatoo ya Nuh Mziwanda enzi alipokuwa mpenzi wake, mpenzi mpya wa muimbaji huyo wa ‘Jike Shupe’, naye kajichora tattoo ya Nuh kwenye mkono wake.

nuh-mziwanda-2

Shilole alichora tatoo lakini baadaye ilikuja kumgharimu walipo achana Nuh. Matokeo yake tatoo hiyo iliyokuwa kifuani Shishi aliibadilisha na kuwa ua, je na huyu naye itakuwaje?

Msichana huyo amejichora kwenye mkono wake ‘NUH MZIWANDA.’ Bado hata hivyo Nuh ana tattoo ya ex wake Shishi.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents