Burudani
Picha: Victoria Kimani abaki ‘topless’ kisiwani Mbudya
Victoria Kimani aliamua kuyafaidi maji ya bahari ya Hindi kisiwani Mbudya, Dar es Salaam kwa kuyaoga bila kuvaa kitu chochote cha kusitiri mat*ti maziwa yake na kwakuwa Mungu kamjalia ‘boobs’ za kuvutia kama za Katy Perry, ilikuwa burudani tu kwa waliomshuhudia. Fahari ya macho hiyo chini.