Picha: Yaliyojiri kwenye usiku wa Lady Jaydee
Show kubwa ya msanii Lady Jaydee iliyopewa jina la ‘Naamka Tena Concert’ iliyofanyika Ijumaa hii kwenye ukumbi wa Mlimani City imefana. Kwenye show hiyo Jaydee alitumbuiza pamoja na bendi yake. Mastaa waliohudhuria ni pamoja na Alikiba,Wema Sepetu,Rama Dee,Idris Sultan,Lamar, Lulu na wengi. Tazama picha za show hiyo.
Lady Jaydee akiwapa burudani mashabiki wake waliojitokeza kwa wingi
The Sony Music Boy: Alikiba alipanda jukwaani kwa surprise na kufanya ukumbi ulipuke kwa shangwe za hatari
Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiteta jambo na Majay, wa kulia ni Dizzle`
Mama Mzazi wa Lady Jaydee wa katikati
Meneja Lady Jaydee (katikati) Seven Mosha akifuatilia show
Rama Dee
Mtangazaji wa EFM Gerand Hando
Rama Dee akiimba pamoja na Jide
Rama Dee akimpongeza Lady Jaydee
Wema Sepetu na mpenzi wake Idris Sultan
Alikiba alipanda stejini kuwasalimia mashabiki wake
Idris Sultan akisalimiana na Alikiba