Habari
Picha: Zitto Kabwe afunga ndoa na mrembo huyu
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Zuberi Kabwe amefunga ndoa Alhamisi hii na mchumba wake aliyemvisha pete miezi michache iliyopita.
Zitto akimvisha pete mke wake
Mwanasiasa huyo ambaye pia ni kiongozi mkuu wa chama cha ATC Wazalendo, ndoa yake imefanyikia Zanzibar na kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo ndugu zake pamoja na rafiki wa karibu.
Kupitia instagram, Zitto amepost picha ya ndoa na kuandika: A to Z