Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi huu leo

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Gabriel Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali, ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa ni Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, nafasi ambayo imechukuliwa na Dkt Boniface Luhende, ambaye alikuwa ni Mhadhiri katika Shule Kuu ya Sheria ya Chuo Kikuu cha DSM.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents