Burudani
Rich Mavoko amalizana na BASATA, ageuka Mbongo mbele ya waandishi wa habari ‘nyie mtanilipa nikiongea’ (+video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rich Mavoko leo Agosti 23, 2018 ametoka BASATA ambako aliitwa yeye na Uongozi mzima wa WCB kujadili ishu ya mkataba wake wa WCB.
Rich Mavoko katika hali ya kushangaza amekataa kabisa kuzungumzia kile walichojadili kwenye kikao hicho, huku akiwachana waandishi wa habari kuwa hawezi ongea kama hawatamlipa.
wamuache Mavocal… wakawahoji Baasata
nipenda iyooo richardy
tatizo.nn jaman
Lol !!!! Hii kali sasa
Anadata jamaa
Kwel wcb kuna nuru.jamaa ndio uyuuuu????
hahahaa aaah maaamake jaman uyu co mavoko …itakua babake mdogo khaaa mbn kabaki kichwa hahah
Kapaniki….we unaondokaje wakati unawadai..kama kweli ungemalizana nao kabla ya kuwachafua wenzako kimyakimya kama ulivyosain
Sura ya konyagi iyo
Hahhahaaa …na wimbo wake wa degele haujashika sana…. PΓ΄le yaani
Amepaniki huyo.
Bila shak kapigw chini inaonekan kaambiw alip milion za watu ndo wasi wasi zote
Dooooh nouma sana
huyu mavoc duuu
Ndo anaanza kupotea kwenye Game hivo!! Maana naona kaamua kuuza bunduki ili anunue rungu!!
Anafila sana aiseeππππ
Ndo uyu Mzee baba
Safiiiiiiiiiiiiiiii kwa jibu lakoooooooππππ
kwani mavoko hujui kusoma kwann ulikubali kusain mkataba kama ulikuwa waunyonyaji
Khaaa siamini kuwa ndo really voko au pacha wake
Jama kafanana kanyogi tuuu maisha yanayumba yumba
Njaa anayo
Shida iriyopo kwenye hii mitandao yakijamii hakuna ukweri mnapotosha potosha tu watu na venyewe watanzania turivyokuwa hatujui kuchunguza! Kwamfano nyinyi bongo 5 mmejaribu kuwahoji wahusika wamekataa kuongelea maswala hayo na tumekuona kabisaa ukiurizwa na rich wewe ni nanani? Na hata uyo kiongozi wa basata nae kawakaria kuzungu mzia yariyo kuwaya kiongelewa, ilasaizi mnasema wamemarizana
Et baba ake mdogo, umenichekesha
mbona kachoka
Hahahaa hahaa hahahaa
Hahahaa uwiiii
Hahahhaahaaaaa
Aende akalimeeeππππ
Mbona kakonda hivi huyu jamaa???
πππππ
πππππ
π
ππππ
Njaa zinaanza kumnyemelea
Duuuuuu imekua hivy
Awalipe wcb ahache asira
ππππ
Huyu sio yeye
#mavoko #rapA
Mbona amekonda hivii
Kashaferi
Wcb 4life
πππππ
πππ
mambo ya ONA sasa ONA ππ
Daah kakonda kama mbwa
Litakuwa limefika koon tatizo kazidisha utoto
Mamae wafi siwatu poa kumuacha kidogotu ndio amekua ivyo atamwaka bado ivyo je miwili itakuje sheta mwna pigana kivyako kuna wasafi kunachunusi mwee