Robo Fainali klabu Bingwa Afrika ni hatari tupu
Mpaka sasa katika Klabu Bingwa Afrika ni timu mbili tu (2) ambazo zinasubiriwa kufuzu ili ziungane na 6 zilizotangulia ili kukamilisha idadi ya timu 8 kukamilisha hatua ya robo fainali.
Tiny zilizofuzu mpaka sasa ni;
KUNDI A
TP Mazembe kutoka DRC
Mamelodi Sundowns kutoka South Afrika.
KUNDI B
ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast
Bado kufuzu
KUNDI C
Petro Atletico kutoka Angola.
Bado kufuzu.
KUNDI D
AL Ahly kutoka Misri.
Young Afrika kutoka Tanzania.
Ikitokea msimamo wa makundi ukibaki kama ulivyo Yanga SC watakutana na moja ya timu hizi robo fainali CAFCL
TP Mazembe
Petro Atletico
ASEC Mimosas
Mpaka sasa Yanga wanaongoza kwa idadi kubwa ya mabao ligi kuu Tanzania wakiwa na mabao 9 na ndio timu pekee iliyofikisha idadi hiyo ya mabao katika hatua ya makundi.
Imeandikwa na Mbanga B.