Technology

Samsung Galaxy S5 inaweza kuzinduliwa February 23

Wale wanaoisubiria kwa hamu simu mpya ya Samsung wanaweza wasingoje kwa muda mrefu tena. Kuna tetesi kuwa kampuni hiyo inaweza kuitambulisja Galaxy S5, Feb. 23 kabla ya Mobile World Congress, ingawa simu hiyo itaingia sokoni April.
Samsung_Galaxy_S5_render__handset_expected_to_arrive_in_January_2014_01

Kwa mujibu wa Eldar Murtazin, mhariri wa mtandao wa Mobile-Review.com , simu hiyo itatangazwa mjini Barcelona Feb. 23. Hakuna taarifa za kuaminika za namna simu hiyo itakavyokuwa lakini itapewa teknolojia ya mawasiliano kati yake na macho ya mtumiaji.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents