Michezo
Simba SC yatangaza kikosi cha maangamizi dhidi ya Mwadui FC
Klabu ya Simba imetangaza kikosi chake cha maangamizi dhidi ya Mwadui FC, kikosi ambacho kitaongozwa na goli kipa, Aishi Manula huku Mwanjali, Mkude na Mavugo wakianzia benchi.
Tazama kikosi kamili cha Simba na Mwadui FC.