Burudani
Steve Nyerere kujenga wodi ya Mama na Mtoto hospitali Vijibweni Kigamboni (Video)
Steve Nyerere na Uzalendo Kwanza watoa msaada vifaa tiba vya tsh milioni 5 hospitali ya Vijibweni Kigamboni, ahaidi kujenga wodi ya Mama na Mtoto.
Wasanii hao wasesema yanafanya hayo yote ili kuisaidia serikali katika harakati za kutatua changamoto zilizopo kwenye huduma ya afya.