Update: Soundcity hamuwezi kututisha kwa lolote – Meneja wa P-Square awajibu!
Beef kati ya kituo cha runinga Soundcity TV ya Nigeria na kundi la P-Square inazidi kupamba moto.
Meneja wa kundi la P-Sqaure ambaye pia ni kaka yao, Jude Okoye amekijibu kituo hicho kilichotoa maelezo ya kwanini hakioneshi video za P-Square (Ingia hapa).
Jude ametumia Twitter kuishutumu Soundcity kuwa haiwalipi wasanii mirahaba na wao hawalalamiki, hivyo wasidhani kuwa wanawasaidia wasanii kucheza video zao kwasababu wao (Soundcity) wanatengeneza mamilioni kwa kuonesha kazi za wasanii bure.
Jude ameandika:
“Kazi yangu ni kutengeneza videos na kazi ya Soundcity ni kuonesha videos.”
“kama ambavyo mna haki ya kuamua video za kucheza ndivyo na sisi tuna haki ya kuamua kutumbuiza bure ama laa.”
“Mnaweza kuendelea kuwatishia wasanii wengine lakini sio P-Square”.
“Vituo vingine vyenye sifa nzuri havina tatizo kuwalipa wasanii kwenye events zao”
Holup holup @SOUNDCITYtv just holup…….
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
Pls u make a living playing our videos that runs into millions in cost. You don't pay royalties, we (artistes and labels) don't complaining
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
And you think you doing artiste favour? Psquare played ALL soundcity Blast from inception for FREE.
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
My job is to make videos. @SOUNDCITYtv job is to play it.
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
As u reserve right to play which videos, so do we artiste and label on wether to perform for you for free or not.
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
You can keep blackmailing and threatening other acts, NOT Psquare
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015
Other reputable channels have no problems taking care of artiste logistics for their events
— IG: @Judeengees (@judeengees) September 10, 2015