Habari

Video: Mims (rapper wa Marekani) amlilia Ngwair

Rapper MIMS wa Marekani ameungana na wasanii wengine wa Tanzania kuomboleza kifo cha Albert Mangwea aliyefariki wiki iliyopita nchini Afrika Kusini. Mims ambaye alikuja Tanzania mwaka jana na kurekodi wimbo Bongo Records, YOU CAN NEVER BE ME akiwa na Jay Moe amezungumza kwenye kipande hiki cha video kuhusu msiba wa Mangwea.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents