Huko nchini Kenya katika Kaunti ya Bungoma kumeibuka tukio la Ng’ombe kuingia ndani ya nyumba na kunywa pombe aina ya Busaa. Ng’ombe huyo anadaiwa kunywa pombe lita arobaini hali ambayo imemfanya alewe chakali.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close