BurudaniUncategorized

Video: Nilichovuna kupitia muziki wangu ni Elimu ya Chuo Kikuu – Mansu Li

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop, Mansu Li amefunguka kwa kudai kwamba kitu alichokivuna kupitia muziki wake ni kupata peza zilizomwezesha kurudi shule na kufanikiwa kuhitimu Bachelor Of Procurement And Supplies Management huko mkoani Mtwara. Rapa huyo amedai pesa ambayo ilimwezesha kwenda chuo aliipata kupitia mauzo ya albamu yake ya Kina Kirefu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents