Bongo Movie
Video: Utawala huu umekuwa wa mateso na shida kwetu – Mama Wema
Mama mzazi wa msanii maarufu nchini, Wema Sepetu amefunguka kwa kudai kuwa utawala wa Rais John Pombe Magufuli ni utawala ulio na mateso makubwa kwenye mafilia yake pamoja na baadhi ya watu. Mama huyo ameyasema hayo Jumamosi hii akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa filamu mpya ya mwanaye iitwayo, Heaven Sent uliofanyika Mlimani City Jijini Dar es salaam.