Afya

Vyakula vinavyochochea kuongezeka maziwa kwa mama

Kwa Mama ana yenyonyesha ni kawaida kupungukiwa na maziwa pindi akiwa ananyonyesha hasa baada ya kujifungua.

Baadhi ya wamama wamekuwa wakikata tamaa namana ya kuweza kuongeza maziwa ili waweze kunyonyesha. Na wengine huamua kutumia maziwa ya kopo au maziwa ya ng’ombe kwa mtoto.(watoto)

Baadhi ya njia zinazoweza kusaidia kuongeza mama maziwa.

i). Uji wa pilipili manga-utapika ujimwepesi changanya na pilipili manga ,kunywa mara 2 kwa siku asubuhi na jioni.

ii). Mbegu za maboga-unaweza zitafuta au kuchanganya kwenye uji au chai.

iii). Juice ya karoti changanya na tangawizi kunywa mara 2 kwa siku.

iv). Supu ya samaki au nyama iliochanganywa na mboga mboga kunywa mara 1 kwa siku.

v). Maji ya kunywa ni muhimu zaidi kunywa kwa wingi .

Chanzo: Mtandao

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents