Habari
Washindi 8 wa Maokoto ndani ya Kizibo
Wawakilishi kutoka SBL wakitangaza washindi 8 Raundi ya 8 katika droo ya camping ya Maokoto ndani ya Kizibo chini ya kampuni ya bia ya SBL. Washindi hao ni Karisto Alfred kutoka Buza,Juma Malambo kutoka Malamba mawili, Beatrice Mazembe kutoka Buza, Fatuma Sudi kutoka Kilimanjaro, Nashnat Kayumbu kutoka Songea, Mrashan Kilabila kutoka Mwanza, Gardna Mwakyusa Kutoka Tabora na Maimuna Ałły kutoka Morogoro wote wamejishindia kiasi cha shilingi za kitanznaia Laki tano.