Habari
Waziri Ndalichako apokea silaha ya kukabiliana na corona kwa wanafunzi (Video)
Kampuni ya Africab imemkabidhi Waziri wa Elimu na Teknolojia, Mhe Ndalichako vifaa vya kupambana na ugonjwa wa Corona kwaajili ya kidaoto cha sita pamoja na vyuo vikuu.