Habari
Davido kutumbuiza Kenya mwezi ujao
Staa wa Nigeria, Davido atatumbuiza jijini Nairobi, Kenya mwezi ujao.
Davido na Diamond walitumbuiza kwenye Fiesta jijini Dar es Salaam mwaka jana
Hii ni mara ya kwanza hitmaker huyo wa ‘Skelewu’ anaenda nchini Kenya.
Staa huyo aliyewahi kuja Tanzania mara mbili, atatumbuiza jijini Nairobi, March 28.
KENYA 28th MARCH TURN UP!!
— Davido (@iam_Davido) February 11, 2015