Hivi ndivyo mastaa wa soka barani Ulaya wanavyofurahia sikukuu ya Christmas na familia zao
Wakati dunia nzima ipo katika kipindi cha kusherehekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya, hivi ndivyo baadhi ya nyota wamchezo wa soka walivyoungana na familia zao kufurahia sikukuu hii ya kuzaliwa kwa Yesu.
Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo akiwa na mpenzi wake Georgina Rodriguez sambamba na familia yao
Wachezaji wengi wabarni Ulaya wametupia picha katika mitandao yao ya kijamii ya Instagram na Twitter zinazoowaonyesha wakiwa na familia zao katika kipindi hiki cha skukuu.
Ronaldo akiwa ameposti picha hii kwenye mtandao wake wa Instagram akiwatakia shabiki zake sikukuu njema ‘Feliz Natal’
Nyota wa Tottenham, Harry Kane akiwa ameposti picha ya mti akiwa na familia yake.
John Terry akiwa sambamba na mpenzi wake Toni wakijiandaa kuwakaribisha marafiki zao sikukuu ya Christmas
Mlindalango wa Liverpool, Alisson na mpenzi wake
Sergio Ramos akiwa na mke wake Pilar Rubio wakiwa na moja kati ya mtoto wao
Mauro Icardi na mpenzi wake, Wanda Nara wakiwa na watoto wao wakike karibu na mti wa Christmas
Harry Maguire akiwa karibu na mgeni wake wakifurahi karibu na mti wa Christmas
Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akiwa na familia yake kipindi hiki cha skukuu Christmas
Straika wa Chelsea, Alvaro Morata akiwa na mke wake, Alice Campello-Morata
Everton’s Jordan Pickford akiwa na familia yake
Straika wa Bayern Munich, Robert Lewnadowski akicheza ba mtoto wake wa kike wakati huu wa skukuu ya Christmas
Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akiposti picha akiwa na familia yake
Straika wa Leicester, Jamie Vardy akiwa na mke wake Rebekah na watoto wao
Beki wa Liverpool, Dejan Lovren
Like Alisson, Douglas Costa