Siasa
Mazishi ya Shekh Yahaya Hussein
Mei 21 ndipo ulikuwa mwisho wa safari ya mnajimu wa Afrika mashariki na kati, Shekh Yahaya Hussein, kwa kumuhitimishia kamazi yake ya kudumu katika makabuli ya Tambaza yaliyopo Muhimbili.
Zifuatazo ni baadhi ya picha ambazo zinaonyesha watu mbalimbali waliohudhulia hapo……
Shekh akitoa mawaidha wakati mazishi yakiendelea.
Hapa hutuba kali ikiendelea, na pembeni raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akifuatilia mawaidha kwa ukaribu sana.
Raisi Kikwete akimriwadha mmoja wa watoto wa marehemu, aliyekuwa akilia.
Taratibu jeneza lilishasogezwa karibu na kabuli kwaajli ya kustiriwa.
Mashekh na maimanu wakiushusha mwili wa marehemu Yahaya Hussein katika makazi yake ya kudumu.
Dua likiendelea