Burudani

Picha: Harusi ya kimila ya Paul Okoye wa P-Square iliyofanyika jana na kuoneshwa Live (DSTV)

Jana (march 22) ilikuwa big day kwa star wa kundi la P-Square Paul Okoye na mpenzi wake wa miaka kumi Anita Isama, waliofanikisha harusi yao ya kimila iliyofanyika katika mji wa Port Harcourt, Nigeria na kuhudhuriwa na ma-star mbalimbali.

Paul-2
Bwana na bibi harusi: Paul Okoye na Anita

Baadhi ya watu maarufu waliohudhuria ni pamoja na Pacha wa bwana harusi Peter Okoye na mke wake, Omotola Jalade, Ini Edo, M.I., Banky W, D’banj, Ice Prince, Jude Okoye, Iyanya, Naeto C, Banky W na wengine.

Paul-1
Paul na Anita kabla hawajabadili mavazi

Licha ya harusi hiyo kuhudhuriwa na watu wengi maarufu lakini pia ilioneshwa live na kituo cha runinga cha HIP TV ambacho kinaonekana kupitia DSTV.

Paul-3

Hizi ni baadhi ya picha za harusi hiyo

Paul-Omotola
Omotola

Paul-4

Paul-5

Peter Okoye na mwanaye

Paul-6

Paul-7

Paul-8

Paul-9

Paul-10

Paul-11

Paul-12

Paul-Banky W

Banky W

Paul-Darey na M.I
Darey na M.I

Paul-Ice Prince
Ice Prince

Paul-Iyanya, Naeto C
Iyanya, Naeto C

Paul-Jude
Jude Okoye

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents